pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

MCHELE MBOVU ULIONGIZWA ZANZIBAR UKITOKEA PAKSISTAN WAAMURIWA KURUDISHWA

Mfanyabiasha aliyeingiza mchele kutoka Pakistan, ambao umegundulikana kuwa ni Mbovu na haufai kwa matumizi ya kula kwa Binaadamu, umeamuliwa na Bodi ya Madawa na Vipodozi kurejesha kwao Ndg. Mohammed Mauly, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa zoezi hilo la kuaza kwa kuutayarisha kwa kuurudisha Paskistan.
Mchele mbovu uliodhibitishwa na Bodi ya vyakula, dawa na vipodozi Zanzibar ukiwa kweye Godauni Mwanakwerekwe ukisubiri kurejeshwa Pakistan ulipo nunuliwa.
 Wachuku wakipakia Mchele kwenye gari kwaajili ya kusafirishwa kurejeshwa ulipotoka.
 
Mfanyabiashara aliyeingiza Mchele kutoka Pakistan Bwa. Mohamed Mauly akionyesha Mchele mbovu ulithibitishwa na Bodi ya vyakula Dawa na Vipodozi Zanzibar na mwenyewe kuridhika na majibu hayo, nakusema sio aliouagizia hivyo ameshapeleka madai na kutakiwa aurudishe ili kupewa haki zake na Kampuni ya Bilal Rice Mills ya Pakistan. Picha na Makame Mshenga wa Maelezo-Zanzibar.

0 comments:

Post a Comment