Unaukumbuka
Wimbo wa Diamond Platnumz alioimba “Ntampata wapi ??””…Unaambiwa
mabinti kibao wameanza kujigonga kwake kutokana na wimbo huo.
Mrembo
na Mwanamitindo anayeitwa Tiara , Mwenye Umri wa Miaka 23 toka nchini
Kenya amemtaka Diamond aende nchini Kenya kumchukua tena bila
malipo yoyote….
Tiara
amedai yeye ana vigezo vyote anavyovitaka Diamond Platnumz. Kama ni
Sura ya mtaratibu , Macho ya Aibu na umbo Mahabibu anavyoooo…!!!!!
Angalia Video hapo chini ujionee Mambo Matamu aliyotumiwa Diamond
Platnumz na Tiara Kutoka Kenya..Zari Upo ? Ongeza Utundu mama.
Many members of a family were arrested for their involvement in an incestuous sex ring.
Wendy Holland, 35, who was one of the ring leaders, was sentenced to 219
years in prison for her role in the network of incestuous sexual
exploitation of children.
Authorities said that Holland, was part of a group of family and friends
who sexually abused children and exchange their own children for sex
over many years.
Holland showed no emotion when the judge sentenced her on Thursday, to
what amounts to a life sentence. She must serve at least 50 years in
prison before being considered for parole, a prosecutor said.
Jurors convicted the woman of sodomy, sexual abuse and other charges.
Another defendant, William Brownlee, 50, was sentenced to 20 years in
prison. Brownlee was convicted of sodomy and sexual abuse.
The two were among 11 people accused of sex crimes. Their crimes came to
light in 2012, after the disappearance of 19-year-old Brittney Wood.
She remains missing and is presumed dead. After Woods went missing, her
uncle, Donnie Holland Sr., was found dead from a single gunshot to the
head. His death was ruled a suicide.
Donnie Holland is the husband of Wendy Holland, who was jailed for 219
years. Their son Donald Paul Holland Jr., 22, was also arrested and
charged with incest, rape and sexual abuse.
During trial, some of the victims, including girls and boys, came forward and testified against their family members.
Even without testimony from Brittney Wood, two of her uncles and her
older brother pleaded guilty to sex charges. They are awaiting
sentencing.
One of the suspects admitted that they had sex with children while they
were still in diapers and that the family had group sex with the
underage kids.
Sadly, none of the suspects shed light on the whereabouts of Brittney
Wood, who is a single mother to a 4-year-old daughter named Payton.
SERIKALI
ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama
moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030
katika mkutano wa Umoja wa Mataifa.
Akizungumza
jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa majadiliano ya malengo ya
milenia yanayotazamiwa kumalizika mwakani na kuanza malengo mapya,
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy
amesema serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya
agenda za maendeleo.
“Tunatambua
haki za binadamu, usawa wa kijinsia kati ya wanaume na wanawake na hata
katiba yetu pendekezwa imetoa haki za sawa kati ya wanaume na wanawake
lakini katika swala la kutambua ndoa za jinsia moja hilo tumekataa,” amesema Balozi Mushy
Amesema
kwamba tumewaambia nchi zilizoendelea na wahisani wa maendeleo katika
Umoja wa Mataifa kwamba swala la ndoa za jinsia moja (ushoga) si agenda
ya watanzania na si agenda ya maendeleo.
Balozi
Mushy aliongeza kwamba serikali ya Tanzania imeweka msimamo huo zaidi
hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete aliagiza hivyo kwa maofisa wa
Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na Waziri husika kukataa shinikizo la
kukubali swala ushoga kama agenda za maendeleo.
Amesema
kwamba watanzania wanataka maswala yanayowagusa kama vile maji, elimu,
huduma bora za afya, miundombinu ya umeme, ajira, umaskini na kuondoa
umaskini wa kipato.
Balozi
Mushy alifafanua zaidi kwamba mambo ya ushoga na ndoa za jinsia
yanakwenda kinyume na maadili ya watanzania, maisha, historia,
utamaduni, mila na desturi za mtanzania sinakataza maswala ya ushoga.
Amesema
kwamba serikali inatambua kwamba sheria ya mwenendo wa makosa ya
kujamiiana yaliwekwa na mkoloni mwingereza kabla ya uhuru na serikali ya
Tanganyika imerithi kutoka kwenye serikali ya mwingereza.
Kesi
imeanza dhidi ya mwanamume anayedaiwa kumuua na kumkataka vipande
mpenzi wake mwanamume Jun Lin na kuwatumia wanasiasa vipande vya mwili
wake kupitia kwa njia ya posta.
Inaarifiwa pia alitumia baadhi ya vipande vya mwili wa mwanamume huyo kwa shule kadhaa nchini humo.
Luke
Magnotta mwenye umri wa miaka 32 alifikshwa mahakamani mjini Montreal
lakini alikanusha madai ya mauaji hayo yaliyotokea mwaka 2012.
Ikiwa atapatikana na hatia atafungwa maisha jela.
Mpenzi wa Magnota alikuwa mwanafunzi wa chuo kikuu raia wa China.
Polisi
walianza uchunguzi wa mauaji hayo, baada ya kupata kiwiliwili cha
mwanamume huyo karibu na nyumba ya Magnotta. Polisi walianza msako wa
kimataifa kumtafuta Magnotta na hatimaye kumkamatia katika duka huduma
za internet mjini Berlin Ujerumani.
Polisi walipata vipande vya mwili wa Lin katika posta vikiwa vimetumiwa waziri mkuu Stephen Harper pamoja na wasiasa wengine.
Polisi
pia walipata vipande vingine vikiwa vimetumwa kwa shule mbili za
kiingereza. Kicwa kilipatikana katika bustani la Montreal.
Kadhalika wachunguzi walipata video kwenye mtando ikionyesha mauaji ya Lin.
Kara Lee akimlisha keki mumewe Richard Miller mara baada ya kufunga ndoa katika Mlima Kilimanjaro juzi.
RAIA wa Marekani Richard Miller na Kara Lee wamefunga ndoa ya
kihistoria katika Mlima Kilimanjaro juzi na kuacha watu midomo wazi.
Kara Lee akimvisha pete mumewe Richard Miller.
Wanandoa hao waliwasili nchini wiki iliyopita na kuanza safari yao ya
siku saba kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia njia ya Machame Septemba
20, 2014 na kutumia usiku huo katika banda la Machame.
Kara Lee anasimulia hivi: “Katika
Sikukuu ya Krismas huko Minnesota nchini Marekani tulivishana pete mimi
na mchumba wangu Richard Miller na kuwekeana ahadi kuwa ndoa yetu
lazima ifungwe juu ya paa la Afrika na hiyo sehemu si nyingine zaidi ya Mlima Kilimanjaro”.
Wanandoa hao wakisaini kitabu cha maharusi.
Baada ya hapo, wawili hao walianza mipango ya kutimiza ndoto yao hiyo
ya pekee na ya kihistoria kwa kukusanya fedha kwa ajili ya safari yao
kuja Tanzania. Wapenzi hao waliwajulisha ndugu na jamaa juu ya uamuzi
wao huo ambapo walipata baraka zote za kutimiza ahadi hiyo.
Safari yao ya kupanda mlima huo ilikuwa ikiongozwa na Kampuni ya
Utalii ya Zara iliyopo mjini Moshi, Kilimanjaro ambapo Septemba 21 mwaka
huu majira ya saa 6 mchana wawili hao waliwasili katika pango
la Shira wakitokea banda la Machame wakiwa pamoja na wenyeji wao tayari
kwa ndoa yao hiyo iliyokuwa gumzo kwa watu waliohudhuria.
Mchungaji Aloyce Mbugi kutoka Kanisa la TAG la Victory
Christian Centre lenye makazi yake jijini Arusha akiwafungisha ndoa Kara
na Richard.
Siku hiyo ya Jumapili, Septemba 21, 2014 Mchungaji Aloyce Mbugi
kutoka Kanisa la TAG la Victory Christian Centre lenye makazi yake
jijini Arusha alianza ibada ya kuwafanya kitu kimoja Richard Miller na
Kara Lee kama mume na mke.
Maharusi hao wakisimamiwa na Ansigar Mtandika na Neema Njau, walianza
kula viapo vya ndoa pamoja na kuvishana pete mbele ya mchungaji huyo
huku wakiahidi kuwa pamoja katika shida na raha mpaka
Mwenyezi Mungu atakapowachukua.
Wanandoa hao katika pozi baada ya kufunga ndoa.
Baada ya zoezi hilo, wanandoa hao walikunywa shampeni pamoja na
waalikwa waliohudhuria tukio hilo la kihistoria na kuhitimisha ndoa hiyo
iliyofungwa kwa saa tatu.
Richard na Kara walianza maisha ya mke na mume katika hema na leo
wameendelea na safari yao ya kuupanda mpaka kileleni Mlima Kilimanjaro
ambapo wamefika kituo cha Baranco. Wanandoa hao
wanataraji kufika kilele cha mlima huo kesho Jumatano na wataanza
kushuka kuelekea geti la Mweka Keshokutwa Alhamisi ya Septemba 25, 2014.
“Wana nguvu na wamepania kufika kilele cha Mlima Kilimanjaro na naamini watatimiza ndoto yao nyingine hiyo,” alisema Teophil Karia, mwongoza wageni kutoka Zara Tours.
Vitendo vya ngono nchini Uganda
vimesababish maambukizi makubwa ya UkimwiMwanamke wa miaka 37, Adong
anashikiliwa na Polisi huko Gulu nchini Uganda kwa kosa la kuwaingilia
watoto wawili wa kiume wenye umri wa miaka 14 na 15 ambao vilevile ni
wenye undugu na yeye!Aliwaingilia watoto hao alipokwenda kuwatembelea
wazazi wao na ndipo usiku akanyata nakuingia chumbani mwao na kuwashawishi bila aibu wamle uroda!Ilitokea baba yao aliwasikia wanae wakijadili juu ya “utamu” na ndipo akaiarifu polis nao hawakuzubaa na kumtia ndani. Akitiwa hatiani anaweza kufungwa miaka 7 au maisha!Mambo hayo!
Msanii
wa Bongo Movies, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ aliyewahi kuripotiwa kujiachia
kimahaba na mwanamuziki Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ametia aibu
kubwa baada ya picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni.
Kutokana
na picha hizo ambazo zimeonekana kuzagaa katika mitandao mbalimbali na
kuacha viulizo kwa wasanii wengi wanaomfahamu, mwandishi wetu alimtafuta
Bozi ambaye alionekana kutafunatafuna maneno na kumtupia lawama nzito
Nay wa Mitego ambaye aliwahi kumtumia picha hizo walipokuwa wapenzi.
“Mungu
wangu sijui nitaweka wapi sura yangu, nilishtuka sana baada ya kuona
picha hizo ni aibu kubwa kwangu, nashindwa hata kuelewa zimesambaa vipi
maana hizi picha alikuwa nazo Nay, nilimtumia kabla hatujaachana sasa
hata yeye namuuliza anasema eti hajazisambaza,” alisema msanii huyo.
Picha
ambazo hazijakaa poa katika kipindi hiki cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani za mastaa, Aunt Ezekiel, Wema Sepetu na Martin Kadinda
zimetibua swaumu za Waislamu waliofunga. Picha
hizo zinazoonesha ni za kipindi cha Wema cha In My Shoes kinachorushwa
kupitia EATV, zinawaonesha sehemu ya juu ya warembo hao wakiwa
watupu.
Wema Sepetu akiwa na AUNTY EZEKIEL
“Huyu aliyeachia hizi picha ametutibua sana sisi tuliofunga, alilenga kutuharibia swaumu zetu, haijakaa poa sana,” ilisomeka sehemu ya maoni ya picha hizo kwenye mitandao ya kijamii.
Wema Sepetu akikumbatiana na Meneja wake, Martin Kadinda.
Katika hali ya kushangaza na ya aina yake, jamii ilishutuka na kifo cha mwalimu wa shule ya Kanisa.
japo kifo chake kilikuwa kimezungukwa na mazingira ya kushangaza.
Alan Filan, umri miaka 61 ambaye alikuwa akifanya kazi ya kufundisha shule za kanisa katika shule moja iliyofahamika kama Brother Rice High School, katika jiji la Chicago, Mwalimu huyo alikutwa amekufa ndani kwake akiwa na majeraha 14
Mapenzi bwana we acha tu, wapenzi wawili waliopendana kwa kipindi cha mda mrefu hawakusubiri kuingia gesti pale walipokutana na kuamua kufanya yao nyuma ya ATM ya Bank
Polisi nchini spain wanaripoti kuwa baada ya watu kuwaona wawili hao walianza kuwapiga picha kwa kutumia simu zao na huku wengine wakiwachuku Video, lakini jambo hilo halikuwastua wawili hao na waliendelea kula raha zao kiroho safi
wapenzi hao wameonekana pembezoni mwa mashine ya kutolea pesa ATM wakiwa uchi wa mnyama na huku lkalamu ya jamaa ikiandika
baada ya watu kuzinasa picha za wawili hao waliaza kuziweka katika mitandao ya kijamii kuonesha tukio hilo la aina yake
wapenzi hao waliendelea kufanya yao bila kujali kilichikouwa kinaendelea kwa watazamaji wao mpaka polisi wa eneo hilo walipopigiwa simu na mashuhuda walioshutushwa na tukio hilo
“simama vaa na ondokeni, hii sio sehemu wala muda wa kufanya ngono" alisema ofisa wa polisi
Taarifa za kipolisi zinasema ya kwamba hakuna adhabu wala faini iliyotolewa kwa wapenzi hao
mwalimu mwenye watoto watatu ametiwa mbaroni baada ya kufany amapenzi na wanafunzi watatu wawili kti yao wakiwa ndugu katika usiku mmoja
Ellen Niemiec, mwenye umri wa miaka 29, mkazi wa Carolina, anashikiliwa kwa kufanya kosa hilo katika kiharusi kidogo kilichofanyika shuleni kwake usiku
kosa la kushikiliwa mwalimu huyo linakuja baada ya kukiuka sheria ya nchi yake ambapo amefanya mapenzi na wanafunzi chini ya umri wa miaka 18, wanafunzi hao wana umri wa miaka 17 ingawa mmoja anadaiwa kuwa na 18
Niemiec, mwalimu wa kike anashikiliwa pia shuleni hapo baada ya kufanya majadiliano ya kimapenzi darasani muda wa vipindi badala ya kufundisha somo lake
walimu hao wameachiwa kwa dhamana ya 34,650,000/= hela za kitanzania
Msichana mmoja amemuua mwenzie kwa kumpiga risasi kutokana na ugomvi ulionzia facebook, wasichana hao wote raia wa Chicago huko Marekani wamefikia hatua ya kuuana pale ambapo msichana mmoja amemchukulia mwenzie mtu wake waliokutana facebook
msichana huyo mwenye umri wa miaka 14 alichukua uamuzi huo mkali wa kumuua mwezie baada ya kua amemounya sana juu ya mpenzi wake wa faceboo, cha kusahangaza wasichana hao hawajawahi kumuona wamgombaniae
polisi nchini humo wanasema kuwa ugomvi huo ulianza pale ambapo majibizano ya wawili hao yaliibuka pale walipo kommentkatiak picha ya kijana huyo kila mmoja akimwita " umependeza mfalme wangu"
ugomvi huo ulianza wakitoka shule pale walipoanza kumgmabania mvulana huyo na mwishowe mtuhumiwa alitoa bunduki na kumpiga mwenzake
polisi wamemkamata msichana huyo pamoja na kijana wa miaka 17 anayesemekana alimsaidia kuficha bunduki yake
mtu mmoja nchini Nigeria anatuhumiwa kwa kulawiti baada ya kukutwa an kijana wa umri miaka 15 kitandani Polisi walisema kuwa mshitakiwa mwenye umri wa 65 Uchenna Ignatius baada ya kumlawiti kwa mda mrefu kijana aliamua kupiga kelel
mshtakiwa, ambaye ni dereva wa kibiashara, zimeripotiwa hbari kuwa alikuwa akijamiiana na mtoto huyo tangu mwaka 2012. pia kutishia kumuua ikiwa
aliimwabia mtu yeyote kuhusu mambo yao
unyanyasaji huo ulianza wakati mvulana huyo akirudi nyumbani kutoka shule. mshitakiwa alikuwa anenda naye nyumbani kwake katika gari la shule. mshtakiwa pia alikuwa akimdanganya mtoto yule kwamba yeye alikuwa ndugu wa mama yake
Wakati kijana huyo alipo kuwa akiwasili katika nyumba ya jamaa huyo, mtuhumiwa haraka alifunga mlango na kumuamuru kijana avue nguo. alipokuwa akikataa kuvua mtuhumiwa alikuwa akitoa kisu na kutishia kumuua.aliendelea na tabia yake ya kumbaka mtoto huyo mara kwa mara na hatimaye alikamatwa
baada ya taarifa kufika polisi, alikamatwa mara moja. jamaa alikuwa rumande chini ya ulinzi mpaka mwisho wa kesi yake ya uhalifu
wake.
mtu mmoja amekamatwa na kushtakiwa kwa jaribio la mauaji baada ya kujaribu kupata mke wake wa zamani kwa kutumia nguvu. mtuhumiwa, Phineas Chiruvigwa, ambaye alifanya kazi kama mlinzi kwenye Mgodi wa Jena huko Zimabwe alikuwa mshitakiwa wa kujaribu kuua mme mpya wa mke wake wa zamani Chiruvigwa na Nqabalezwe Ncube, ambaye amemfukuza mke wake wa zamani takriban miezi 4 iliyopita, na kudai mke wake na anamtaka arejee kwake
“Mimi nilimwambia ilikuwa ni kuchelewa kwa kujadili suala hilo, lakini
yeye hakulazimishwa, aliingia katika nyumba yangu,
Kwa bahati nzuri, risasi ilikosea na wanakijiji ambao walisikia mlio wa
risasi walikija haraka kusaidia kabla polisi hawajafika eneo hilo, aliongeza; Chiruvigwa alionekana mbele ya hakimu Mark Dzira juu ya
madai ya jaribio la mauaji na milki ya silaha bila leseni.
Alikiri tuhuma ya kukutwa na silaha, lakini alikanusha jaribio la mauaji .katika
utetezi wake,
A boy was furious when he discovered that his mother was having an affair with another man.
The boy of Zimbabwe, allegedly found nude photos of his mother with another man on her cell phone.
The boy then showed the photos to his father, Dumisani Ndebele. After
seeing the photos, Ndebele became furious, saying that his wife had
refused him sex for almost a year.
The man attacked his wife at their home in Pumula Bulawayo. He bit her
on the cheeks and ripped a piece of her cheek out after he discovered
the series of nude photos of her with another man having sex.
Keziya Ndebele denied the allegations that she was cheating on her
husband. Instead, she said that her husband went crazy after he was
served with divorce papers to end their 18 year marriage.
The woman, who appeared in front of judge Marylene Mtshina with bandages
on her face, was granted an order of protection against her husband.