Mwenyekiti wa Muda wa Bunge maalum
La Katiba Mh Pandu Kificho Ameahirisha Semina ya kujadili Kanuni za
Bunge Maalum la Katika Kutokana na Vuruguru Kutokana na Hali ya
Kutokuelewana Kati ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mh Ole Sendeka
Kutoleana maneno na Mbunge Mwenzake wakati Mbunge Huyo alipohoji kuhusu
Kanuni hizo.
Bunge maalum linaloendelea dodoma linaweza kujikuta likiisha kwa kuigawa nchi yetu vipande vipade kutokana na misimamo ya baadhi ya wajumbe wake, leo tumeshuhudia bunge likiahirishwa baada ya mjumbe kutoka zanzibar akimtolea uvivu sindeka na mwenyekiti wa muda aye akiungana na mwenzake wa zanz, hivyo imeonekana dhahiri wabunge wote wa zanzibar wakiungana na wabunge wote wa upinzani na wale wa ccm bara wakibakia peke yao na msimamo wa chama chao, kazi ipo uwezekano wa kupata katiba mpya kwa kutumia msimamo wa ccm imekua ni vigum sanaaa, cha zaidi makundi yote hayaungi mkono msimamo wa ccm.
Bunge maalum linaloendelea dodoma linaweza kujikuta likiisha kwa kuigawa nchi yetu vipande vipade kutokana na misimamo ya baadhi ya wajumbe wake, leo tumeshuhudia bunge likiahirishwa baada ya mjumbe kutoka zanzibar akimtolea uvivu sindeka na mwenyekiti wa muda aye akiungana na mwenzake wa zanz, hivyo imeonekana dhahiri wabunge wote wa zanzibar wakiungana na wabunge wote wa upinzani na wale wa ccm bara wakibakia peke yao na msimamo wa chama chao, kazi ipo uwezekano wa kupata katiba mpya kwa kutumia msimamo wa ccm imekua ni vigum sanaaa, cha zaidi makundi yote hayaungi mkono msimamo wa ccm.
0 comments:
Post a Comment