Katibu
Mtendaji wa Ofisi ya Rais Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (wa pili kulia),
akipata maelezo juu ya Mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma kutoka kwa Meneja
Utawala Msaidizi wa kampuni ya Tanzania –
China International Mineral Resources Limited (TCIMRL) Bw. Israel Mkojera.
Pamoja nae ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NDC Bw. Mlingi E. Mkucha (wa kwanza
kulia), Kaimu Mkurugenzi wa Viwanda Mama wa NDC Bw. Ramson Mwilangali (wa
kwanza kushoto), Naibu Katibu Mtendaji, Tume ya Mipango Bi. Florence Mwanri (wa
pili kushoto), Erasmus Masumbuko, Tume ya Mipango (wa tatu Kushoto).
Sehemu
ambayo makaa ya mawe yanaoneka kwa juu katika uhalisia wake.
Shimo hili lilichimbwa
mwaka 1956 kwa ajili ya utafiti kuangalia tabaka za makaa ya mawe katika eneo
hilo la Mchuchuma.
Picha zote na: Thomas Nyindo.
0 comments:
Post a Comment