pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

NUKUU YA LEO - KUTOKA FACEBOOK

NJIA YA DUNIA HAINA MKATO?...waeza mkosea Muumba na akakuneemesha...maisha yako yakawa ni yakufurahisha....waeza tubu kwa Muumba akakufukarisha...maisha yako yakawa ni ya kutisha...unapata leo na kesho unabahatisha...ndiyo hali inayowakumba baadhi ya vijana....njaa imekithiri kwao hadi wanazikana mchana na tena wangali wazima....siyo kama wanachukiana....siyo kama wanatengana...wakimuona mwenzao anaumwa na njaa sana mpaka anashindwa kusimama...humuonea huruma na kumtanguliza akhera.....ewe uliyekula chai ya nguvu...mchana unaandaliwa biriyani ya kuku...Mche MwenyeziMungu.....usiitumie njia ya mkato...ukafanya israf yako ya mapato...jua mwisho wako ni kuni za moto...haya tusiibe jamani....tusiwadhulumu insani na tuwape sadaka masikini...tusameheyane ndugu na majirani...tuwatendee wema walideini ili tumridhishe manani...atuingize salama peponi inshaallah...asubuhi njema.



source,


0 comments:

Post a Comment