pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

Lori la Mafuta lapinduka Morogoro, likikwepa mtoto

Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limefanikiwa kudhibiti wananchi waliobeba madumu wakitaka kuiba mafuta baada ya lori la mafuta kuanguna katika eneo la Mikese mkoani Morogoro

Dereva wa lori Deogras John hilo akizungumzia tuki hilo la ajali amesema chanzo cha ajali alikua akijaribu kukwepa mtoto aliekua akivuka barabara ndipo gari ikapoteza mweleko na kupinduka mara kadhaa ambapo wananchi walijitokeza na madumu na kuanza kuiba mafuta. 
Nao wananchi wa eneo la Mikese katika hali iso ya kawaida wamelalamikia jeshi la polisi  kuwazuia kuiba mafuta na kueleza kuwa wamefanya kazi ya kumuokoa dereva kwa kumtoa kwenye gari na hivyo walipaswa kuchukua mafuta kama ujira wao

0 comments:

Post a Comment