pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com
Showing posts with label Ajira. Show all posts
Showing posts with label Ajira. Show all posts

NAFASI ZA KAZI


CUSTOMER CARE OFFICER
Qualifications: Bachelor degree
or its equivalent in Health
Promotion,Mass Communication,Marketing, Public health or Social Sciences
Apply: camjar2014@yahoo.com
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 12 ,  2015

ASSISTANT ACCOUNTANT - 2 POSITIONS
Qualifications: B.com (Accounts)Bachelor of Commerce, Advanced Diploma in Accounting or equivalent with three years experience
Apply: camjar2014@yahoo.com
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 12 ,  2015

OFFICE MANAGEMENT SECRETARY
Qualifications: Holder of Diploma in Secretarial duties with at least six years working experience two of which must be in a senior
Apply: Managing Editor Tanzania Standard (Newspapers) Limited
Box  9033 , Dar es Salaam
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 14 ,  2015

HUMAN RESOURCE AND ADMINISTRATIVE MANAGER
Qualifications: Holder of MBA in Human Resources Management or Msc. Human Resources Management,Public Administration or its equivalent from a recognized institution
Apply: Managing Editor Tanzania Standard (Newspapers) Limited
Box  9033 , Dar es Salaam
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 14 ,  2015

MECHANICAL ENGINEER
Qualifications: Degree in Mechanical Engineering from a recognized  institute
Apply: tcc.recruit@jticom
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: April 30 ,  2015

KOGOMA PROGRAMME MANAGER
Qualifications: Bachelor’s degree in Health/Business Administration or equivalent,Master’s degree in Public Health or Business Administration will be an added advantage
Apply: TZ@worldlungfoundation.org
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 06 ,  2015

OFFICE MANAGEMENT SECRETARY
Qualifications: Holder of National Form IV/VI with Diploma in Secretarial duties from a recognized institution
Apply: Director General,
Medical Stores Department
Box  9081 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015
FINANCE AND ADMINISTRATION MANAGER
Qualifications: Graduate in Accountancy,Business Administration and holder of ACCA/CPA (T) Master’s degree in Business Administration or Finance will be an added advantage
Apply: TZ@worldlungfoundation.org
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 06 ,  2015

DEPUTY CLINICAL DIRECTOR
Qualifications: Advanced degree in obstetrics and gynecology with extensive program and clinical experience in Tanzania or similar setting
Apply: TZ@worldlungfoundation.org
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 06 ,  2015

CLINICAL INSTRUCTOR FOR BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING DEGREE PROGRAMME
Qualifications: Must be registered Nurse and Midwife, a holder of Master’s degree with special interest in clinical teaching
Apply: Vice Chancellor Hurbet Kairuki Memorial University
Box  65300, Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 20 ,  2015

CLINICAL INSTRUCTOR FOR DIPLOMA IN NURSING PROGRAMME
Qualifications: Must be registered Nurse and Midwife, a holder of first degree with special interest in clinical teaching Apply: Vice Chancellor Hurbet Kairuki Memorial University
Box  65300 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 20 ,  2015

PROJECT TECHNICIAN LAND
Qualifications: Bachelor’s degree in Land Surveying,Town Planning or relevant related fields
Apply: Chief Executive Officer WAT- Human Settlements Trust
Box  31606 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 08 ,  2015

RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT
Qualifications: Form IV and Certificate in Records Management
Apply: camjar2014@yahoo.com
Details: Daily News
April 24,2015
Deadline: May 12 ,  2015

ASSISTANT PLANNING OFFICER
Qualifications: BA Economics or BA statistics or BSc in Agriculture Economics or Agribusiness
Apply: camjar2014@yahoo.com
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 12,  2015
PROJECT MANAGER,LAND AND HOUSING DELIVERY
Qualifications: Professional qualification in the built environment field such as construction project Management,Quantity Surveyor,Engineering,Architecture,or Town Planning
Apply: Chief Executive Officer WAT- Human Settlements Trust
Box  31606 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 22,2015
Deadline: May 08 ,  2015

DIVERS - 2  POSITIONS
Qualifications: Holder of Secondary School Certificate,with a class “C” driving licence.The candidate must also have undergone training and attained Trade Test Grade II from a recognised institution
Apply: Director General,
Medical Stores Department
Box  9081 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

ACCOUNTING OFFICER
Qualifications: Degree in Accounting or Finance
Apply: buzrecruitment@acaciamining.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 01 ,  2015

SENIOR FINANCE ASSISTANT
Qualifications: Higher Diploma in Office Management/Administration and extensive experience in Administrative positions
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

SENIOR DIARY PRODUCTION ADVISOR
Qualifications: Minimum of Bachelor’s degree in the fields of Animal and Veterinary Sciences,Holder of Master’s in Animal,Veterinary and Agricultural Sciences and Rural Development will be highly considered
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

PROJECT  DRIVER
Qualifications: Vehicle Management Certificate and at least five years of experience in driving/Mechanic,a valid driver’s licence
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

OFFICE ASSISTANT
Qualifications: Form IV with a pass in English and kiswahili
Apply: camjar2014@yahoo.com
Details: Daily News April 24,2015
Deadline: May 12 ,  2015
DIVER - MBEYA
Qualifications: Holder of Secondary School Certificate,with a class “C” driving licence.The candidate must also have undergone training and attained Trade Test Grade II from a recognized institution
Apply: Director General,
Medical Stores Department
Box  9081 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

ADMINISTRATIVE AND FINANCE ASSISTANT
Qualifications: Diploma in Office
Management/Administration and demonstrated experience in Administrative positions
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

PROJECT ASSISTANT -NATURAL RESOURCES MANAGEMENT
Qualifications: Minimum Diploma
in Environmental Science,
Forestry or General Agriculture Science preferred. Bachelor’s degree in Environmental Science,Forestry or General Agriculture Science
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

PROJECT ASSISTANT -AGRICULTURE
Qualifications: Minimum Diploma
in Crop production/crop science
preferred.Bachelor of Science
degree in Agriculture or Agro
nomy,Agricultural Extensions
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

DIVERS - 2  POSITIONS, DAR
Qualifications: Holder of Secondary School Certificate with a class “C” driving licence. The candidate must also have undergone training and attained Trade Test Grade II from a recognized institution
Apply: Director General,
Medical Stores Department
Box  9081 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

PRINCIPAL PROJECT ENGINEER (DISTRIBUTION)
Qualifications: A degree in Electrical Engineering from a recognised institution
Apply: Senior Manager
Human Resources
Tanesco Ltd Umeme Park
Box 9024, Dar es Salaam
Details: The Citizen April 2,2015
Deadline: April 25 ,  2015
PROJECT ASSISTANT -SOCIAL CAPITAL DEVELOPMENT
Qualifications: Minimum Diploma
in Community Development,
Preferred Bachelor’s degree
in Rural Sociology/Anthropology,
Gender studies and Community Development
Apply: crystalhumancapital@gmail.com
Details: Daily News April 21,2015
Deadline: May 04 ,  2015

HEAD OF MOTORING AND
EVALUATION
Qualifications: Holder of Master’s
degree in Business Administration, Engineering Management,
Project Management,Finance, Economics,or its equivalent Apply: Chief Executive Officer Universal Communications
Services Access Fund
Box 33114 , Dar es Salaam
Details The Guardian Apr 10,2015
Deadline: May 08 ,  2015

HEAD OF PROJECT PLANNING AND DEVELOPMENT 
Qualifications: Master’s degree in the field of ICT. Possession of a Master’s degree in Business Administration or Economics is an added advantage
Apply: Chief Executive Officer Universal Communications
Services Access Fund
Box 33114 , Dar es Salaam
Details The Guardian Apr 10,2015
Deadline: May 08 ,  2015

Shirika la ndege la Emirates kumwaga ajira kwa watanzania..!!

KATIKA  kutekeleza moja ya malengo ya Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kupitia Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Nchini Dubai katika Falme za Kiarabu, umefanikiwa  kulishawishi Shirika la Ndege la Emirates  kuajiri Watanzania  kwenye Shirika hilo.
Shirika Limekubali kuajiri Watanzania katika kada mbalimbali, ambapo Maafisa wanaosimamia ajira kutoka Dubai wanatarajiwa kuja nchini Mwezi Machi mwaka huu kwa ajili ya kufanya usaili kwa Watanzania watakaoomba kazi kwenye Shirika hilo na kupata uteuzi wa awali.
Mkurugenzi Idara ya Mashariki ya Kati Wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Simba Yahaya ameyasema hayo leo jijini Dar es salaam, alipokuwa akizungumza na wandishi wa habari ambapo amefafanua kuwa kupitia wandishi hao, Watanzania wenye sifa wataweza kufahamishwa juu ya fulsa za ajira katika Shirika hilo na kutuma maombi ya kazi.

Agalia majina ya uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa January 2015.

Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 4352 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini Januari 2015. Aidha orodha ya watumishi 96 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Maelekezo yote muhimu yapo katika barua ambayo kila mtumishi atapatiwa kupitia kwa Wakurugenzi wa Mamlaka wanazotoka.

bofya chini kuangalia watumishi wa serikali za mitaa

UHAMISHO WA WATUMISHI SERIKALI ZA MITAA(WALIOKIDHI VIGEZO) JANUARY 2015

 bofya chini kwa majina ya uhamisho kwa wasiokidhi vigezo

Nafasi za Kazi..!!

SENIOR RESEARCH OFFICER II
(BIOCHEMISTRY) - 2 POSITIONS
Qualifications: Holder of Master’s degree in Biochemistry from a recognized institution with at least six years of research work experience in a reputable organization
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News
January  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

LABORATORY ASSISTANT - 3 POSITIONS
Qualifications: Holder of Form IV/VI National Examination Certificate who has successfully completed Laboratory Assistant
Course from a recognized institution
Apply: Managing Director, Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News
January  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

LABORATORY TECHNOLOGIST - 2 POSITIONS
Qualifications: Holder of Form IV or VI National Certificate and FTC or Ordinary Diploma in Medical or Chemical or allied Health Laboratory sciences from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News
January  5, 2015
Deadline: January  26,  2015
RESEARCH OFFICER II
(NUTRITION TRAINING)
Qualifications: Holder of Master’s degree in Human Nutrition or Agricultural Education and Extension from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

RESEARCH OFFICER I
(NUTRITION TRAINING)
Qualifications: Holder of Master’s degree in Human Nutrition or Agricultural Education and Extension from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

INFORMATION COMMUNICATION TECHNOLOGIST
Qualifications: Holder of First degree in Information and Communication Technology or Computer Science with experience of at least three years
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

RESEARCH OFFICER I
(PLANNING)
Qualifications: Holder of Master’s degree in Economics/Planning /Agri-business from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

SENIOR RESEARCH OFFICER I
(MICROBIOLOGY) - 2  POSITIONS
Qualifications: Holder of Master’s degree in Microbiology from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

SENIOR RESEARCH OFFICER I
(PLANNING)
Qualifications: Holder of Master’s degree in Economics/Planning /Agri-business from a recognized institution with at least research work experience in a reputable organization
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News
January  5, 2015
Deadline: January  26,  2015
SENIOR RESEARCH OFFICER II(STATISTICS)
Qualifications: Holder of Master’s degree in statistics/Bio-statistics from a recognized institution with at least six years of research work experience        in a reputable organization                                       Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

ESTATE OFFICER
Qualifications: Holder of First degree or Advanced Diploma in Land Management and Valuation or its equivalent from a recognized  institution                                                         Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

SENIOR DRIVER - 2  POSITIONS
Qualifications: Holder of at least Form IV Certificate, valid Driving licence class “C” and must have a basic  certificate in driving from NIT or its equivalent with a clean record in driving
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

RECORDS MANAGEMENT
ASSISTANT I - 2 POSITIONS
Qualifications: Holder of Form IV or VI certificate who has passed Qualifying Records Management Examination or its Equivalent with at least six years working experience                                                              Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

SENIOR RESEARCH OFFICER II (DIETETICS) - 3 POSITIONS
Qualifications: Holder of Master’s degree in,Dietetics/Nutrition from a recognized institution with at least six years of research work experience                                                            Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

HUMAN RESOURCE OFFICER II
Qualifications: Holder of First degree or Advanced Diploma in Public/Business  Administration from a recognized institution                                                            Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015
SENIOR RESEARCH OFFICER II
(NUTRITION TRAINING - 3 POSTS
Qualifications: Holder of Master’s degree in Human Nutrition,
Home Economics,Masters of Education (Linguistic,Curriculum Development )Food Science and Technology
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam   
Details: Daily News  Jan  05, 2015
Deadline: January  26,  2015

RESEARCH OFFICER I
(FOOD SCIENCE TECHNOLOGY)
Qualifications: Holder of Master’s degree in Food Science,Food Technology,Food Engineering or related fields from a recognized institution
Apply: Managing Director Tanzania Food and Nutrition Centre
Box 977, Dar es Salaam
Details: Daily News  Jan  5, 2015
Deadline: January  26,  2015

Nafasi za kazi

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
1) Sales Executives- Dar es Salaam ( 11 Posts)
2) Sales Executives- Upcountry (13 Posts)
3) Office Coordinators - Upcountry (12 Posts)
4) Accountant -Mwanza (1 Post)
5) Customer Relationship Manager - DSM ( 1 Post)
6) Receptionists - DSM ( 3 Posts)
7) Branch Manager-DSM ( 1 Post)
8) Branch manager -Upcountry (3 Posts)
9) Floor Supervisor/technician - DSM ( 1 Post)
10) Cars Service adviser -DSM (1 Post)
11) Car washer - DSM ( 3 Posts)
12) Skilled mechanics -DSM ( 3 Posts)
13) Semi Skilled Mechanics - DSM ( 4 Posts)
14) Electrician -DSM ( 1 Post)
15) AC Technician -DSM ( 2 Posts)
16) Body Shop Technician (3 Posts)
17) Driver- DSM ( 2 Posts)
18) Messenger/Tea boy- DSM ( 2 Post)
19) Technicians - DSM ( 8 Posts)
20) Technicians - Arusha & Mwanza ( 4 Posts)
21) Cashier -DSM ( 1 Post)

TO Apply: Please send your CV to recruitment@eaj obs.co.tz
For more job details visit our website
www.eajobs.co.tz
APPLICATION DEADLINE: November 30, 2014

NB: Upcountry= Mwanza,Arusha, Mbeya, Dodoma,nKahama, Iringa, Morogoro, Kigoma, Bukoba, Tanga,
Sumbawanga, Songea, Singida, Tabora, Mtwara, Zanzibar

BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI

KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha sekta ya Samani nchini kupitia vikundi na makampuni ya ndani.Tathimini hiyo ya Baraza ya mwaka 2008, ilijikita katika kubaini mahitaji na changamoto zinazoikabili sekta ya samani hapa nchini. Baraza liliweza kuandaa warsha iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali na ambapo matokeo ya tathmini hiyo yaliwasilishwa. Wadau kutoka sekta ya umma na binafsi walishiriki katika mrejesho wa tathmini hiyo na wao pia kuchangia maoni zaidi kwa ajili ya kuiboresha.Washirika hao walisaini makubaliano hayo katika  hafla iliyoshuhudiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji wa Uchumi na Uwekezaji), Dk Mary Nagu Akizungumza katika hafla hiyo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Dk Anacleti Kashuliza, alisema pamoja na kuwepo kwa fursa kubwa ya soko la samani hapa nchini bado ushiriki wa vikundi na makampuni ya ndani katika soko hilo ni mdogo sana kulinganisha na samani zinazoagizwa kutoka  nje ya nchi.Alisema tunatoa wito kwa taasisi za Umma na Binafsi  ziunge mkono jitihada hizi kwa kununua samani toka kwa watengenezaji samani  wa ndani na ili kuwapa ushirikiano zaidi utakaowezesha kuimarisha sekta ya samani zitengenezwazo ndani ya nchi.Kwa upande wake, Mwenyekiti wa TAWOFE, Bw Fredrick Waibi, alielezea makubaliano kati ya FCDL na TAWOFE ni mkakati mzuri utaomjengea uwezo fundi seremala kuweza kutengeneza bidhaa zitakazoweza kukubalika kimataifa, kuongeza tija kazini na kupunguza umaskini kati ya mafundi seremala.Naye Mkurugenzi Mkuu wa FCDL, Bw Shafik Bhatia, alisema kama wadau muhimu wa samani nchini wameona umuhimu na wanajivunia  kushirikiana na Tawofe katika kuboresha huduma za samani nchini .CaptionKatibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji, Dk Anacleti Kashuliza (wa pili kulia) akiweka saini makubaliano ya ushirikiano kati ya FCDL na TAWOFE katika kuboresha utengenezaji wa samani nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (wa kwanza kulia) anayeshuhudia makubaliano hayo.

Nafasi za Kazi

Qualifications: Holder of Ordinary Diploma or FTC in Mechanical Engineering
Apply: Director General (SIDO)
Box 2476 ,Dar es Salaam
Details: Mwananchi  Oct 24,2014
Deadline: November  30,  2014
PROJECT MANAGER ZANZIBAR
Qualifications: A degree in Agriculture,Horticulture or  Agriculture Extension,A postgraduate qualification will be an advantage but not compulsory
Apply: taha.recruitment@gmail.com
Details: The Guardian
October 24,2014
Deadline: November  5,  2014
MECHANICAL  ENGINEER  
Qualifications: Holder of First degree in Mechanical Engineering from a recognized institution
Apply: Manager Mtwara
Gas Plant
Box 3, Mtwara
Details:  Daily News Oct 17, 2014
Deadline: November  02,  2014

MECHANICAL TECHNICIAN  
Qualifications: Holder of FTC or Diploma in Mechanical Engineering from any recognized institutions
Apply:Manager Mtwara Gas Plant
Box 3, Mtwara
Details:  Daily News Oct 17, 2014
Deadline: November  02,  2014

CONSTRUCTION ENGINEER
Qualifications: Bachelor’s degree
in Electrical Engineering,
Registered Engineer by ERB (T) Fresh graduate from a recognized university or above`
Apply: Senior Zonal Manager Lake Zone,Tanesco Limited
Box 812, Mwanza
Details:  The Citizen Oct 15, 2014
Deadline: November  03,  2014

rical Engineering,
Registered Engineer by ERB (T) Fresh graduates from a recognized university or above
Apply: Senior Zonal Manager Lake Zone,Tanesco Limited
Box 812, Mwanza
Details:  The Citizen Oct 15, 2014
Deadline: November  3,  2014

PROGRAM OFFICER
Qualifications: Master’s degree
Preferably in political Science,
Economics or Business Administration
Apply: www.norway.go.tz/
Details: The Citizen Oct 15, 2014
Deadline: October  24,  2014


REGIONAL  ACCOUNTANT
Qualifications: Advanced Diploma in Accounting,B.Com
- Finance or its equivalent
Apply:Human Resource Manager
Box 6396 , Mbeya
Details: Mwananchi  Oct  24,2014
Deadline: November  5,  2014


CLERICAL OFFICER III
Qualifications: A holder of Form VI Secondary Education with passes in arts subjects and must have a credit pass in English at “O” level plus a certificate in records Management with at least four years working experience in a similar position
Apply: Deputy Principal Administration Mkwawa University College of Education
Box 2513, Iringa
Details: Daily News  
October  20,2014
Deadline: November  3,  2014


OFFICE ADMINISTRATOR
ZANZIBAR
Qualifications: A degree in Business Administration,Accounting , Human Resource Management,Public Administration or related disciplines is requred
Apply: taha.recruitment@gmail.com
Details: The Guardian
October 24,2014
Deadline: November  5,  2014
SENIOR ASSISTANT INTERNAL AUDITOR I
Qualifications: A holder of a Bachelor’s degree in Accountancy or Advanced Diploma in Accountancy of professional Level II or Module C,D and F from a recognized institution,with six years work experience
Apply: Deputy Principal Administration Mkwawa University College of Education
Box 2513 , Iringa
Details: Daily News  
October  20,2014
Deadline: November  3,  2014

OFFICE ATTENDANT II - 4 POSTS
Qualifications: A holder of Form VI Secondary Education with passes in Kiswahili and English with at least four years working experience in a similar position
Apply: Deputy Principal Administration Mkwawa University College of Education
Box 2513 , Iringa
Details: Daily News  
October  20,2014
Deadline: November  3,  2014

ASSISTANT ACCOUNTANT II
Qualifications: A holder of a Bachelor’s degree in Accountancy or Advanced Diploma in Accountancy or professional level II with at least three of relevant work experience
Apply: Deputy Principal Administration Mkwawa University College of Education
Box 2513 , Iringa
Details: Daily News  
October  20,2014
Deadline: November  3,  2014

Nafasi za kazi NSSF

NAFASI YA KAZI NSSF MWISHO WA KUTUMA MAOMBI NI TAREHE 15/10/2014


The National Social Security Fund (NSSF) which is the leading provider of social Security services in Tanzania is hereby inviting applications from suitably qualified, dynamic and motivated Tanzanians to immediately fill vacant positions currently Existing in the Fund.

POSITION; CHIEF LEGAL SERVICES
Scope of position;
This position is responsible for legal services function in the fund. The job holder advises the Director General on all matters pertaining to legal matters. The outputs of this position are therefore reflected in the quality of legal services in the field.

Key Duties and Responsibilities
1. Manage the legal services function by formulating short and long term work programmes for legal services, and supervising the implementation of such programmes
2. Provide the Director general with legal advice on all matters relating to the fund’s role and functions
3. Represent the fund in matters of litigation
4. Provide the fund with appropriate interpretation of the statutes, contracts, and agreements relating to the role and functions of the fund
5. Keep custody of all contracts and other legal documents
6. Assist the Director General in the provision of Secretarial services to the Board of Trustees including keeping Board records in the safe custody
7. Provide legal advice to Head of Directorates and departments
8. Research legislation and other legal aspects pertaining to the social security and to the role and functions of the fund
9. Prepare periodic reports outlining the performance of the legal Department and
10. Perform such other related duties as may be assigned by the Director General from time to time.
Distinct areas expertise and experience
• Possession of a master Degree in Law
• Must be a Registered Advocate
• Minimum of Five (5) years experience in Legal functions
• Excellent communication skills
• Computer literacy is a must
• Strong leadership skills.


Mode of application:
Applications in writing enclosing detailed curriculum vitae, certified copies of relevant certificates, contact address including telephone numbers, email address and names and addresses of three referees to be addressed to the undersigned.

Director, Human Resources and Administration
National Social Security Fund,
P.O. Box 1322,
DAR ES SALAAM
The closing date for submission will be on 15th October, 2014.
Only short listedcandidates will be contacted.

NAFASI ZA KAZI


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/H/03 25 Septemba, 2014 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 102 za kazi kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji,




1.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UPIMAJI ARDHI) - (ASSISTANT WATER WORKS TECHNICIAN GEOMETRIC) – NAFASI 25-ZINARUDIWA

Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aoyesajiliwa ili aweze;
 Kushirikiana na Wahandisi wa Maji na kuwaongoza walengwa katika kuchagua njia za kupitisha bomba kwa ajili ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kupima hali ya kijiografia ya maeneo ya inayokusudiwa kujengwa au yenye miradi ya maji na usafi wa mazingira ili kuwezesha usanifu wa miundo mbinu miradi;
 Kupima uwekaji wa vifaa vya miundo mbinu kwenye ardhi wakati wa ujenzi wa miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kunakili na kutunza taarifa za upimaji wa ardhi kwa ajili ya miundo mbinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna inayokubalika kwa mchoraji wa ramani za usanifu wa miradi kufanya kazi yake kwa unadhifu;kuchora ramani za maeneo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa namna zote zinazokubalika kwa ajili ya kuwezesha usanifu wa miundo mbinu ya maji na usafi wa mazingira;
 Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za upimaji ardhi.
1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Water Works Technician Geometric).
1.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

2.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (PAMPU) – NAFASI 25-ZINARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
2.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Atafanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;
 Kufunga pampu na injini za aina mbalimbali za miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufanya usafi na ukaguzi wa pampu na injini za miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;
 Kuhudumia uendeshaji wa pampu na injini za miradi ya maji;
 Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu wa pampu na injini kwa kufuata miongozo ya uendeshaji na matengenezo na inapohitajika kwa dharura;
 Kunakiri, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya pampu na injini za miradi ya maji;
 Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.
2.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Mitambo Ya Maji (Pampu).
2.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

1.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI MITAMBO YA MAJI (UMEME) – NAFASI 25-ZINARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
1.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi sanifu aliyesajiliwa ili aweze;
 Kufunga mfumo wa umeme unaohitajika kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufunga mota na vifaa vingine vya umeme vya aina mbalimbali vya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufanya usafi na ukaguzi wa mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine umeme vya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu wa pampu na kuzuia uharibifu;
 Kuendesha mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi na ya kuzuia uharibifu kwenye mfumo wa umeme, mota na vifaa vingine umeme kwa kufuata miongozo ya uendeshaji, na inapohitajika kwa dharura.
 Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya mitambo inayotumia umeme ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.
1.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plants Technician Electrical).
1.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

3.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI - (ASSISTANT TECHNICIAN WELDING) NAFASI 2-ZINARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
1.4 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;
 Kufunga pampu na injini za aina mbalimbali za miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufanya usafi na ukaguzi wa pampu na injini za miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;
 Kuhudumia uendeshaji wa pampu na injini za miradi ya maji;
 Kufanya matengenezo ya kawaida, ya vipindi nay a kuzuia uharibifu wa pampu na injini kwa kufuata miongozo ya uendeshaji na matengenezo na inapohitajika kwa dharura;
 Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya pampu na injini za miradi ya maji;
 Kumsaidia Fundi Sanifu katika kazi za kiufundi.
1.5 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III katika fani ya Welding na fiter turner.
1.6 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

4.0 FUNDI SANIFU MSAIDIZI (UFUNDI BOMBA) - (ASSISTANT WATER WORKS TECHNICIAN PLUMBING) – NAFASI 1-INARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
1.7 MAJUKUMU YA KAZI
 Kufanya kazi kwa kuongozwa na chini ya uangalizi wa Fundi Sanifu aliyesajiliwa ili aweze;
 Kufunga mitandao ya bomba za aina mbalimbali ya miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kufanya usafi na ukaguzi wa mitandao ya bomba ya miradi ya maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kukidhi uendeshaji nadhifu, endelevu na kuzuia uharibifu;
 Kuwezesha uzalishaji na usambazaji wa maji na utoaji wa majitaka kwa kupitia mitandao ya bomba za miradi ya maji na usafi wa mazingira.
 Kufanya matengenezo ya kawaida ya vipindi nay a kuzuia uharibifu wa mitandao ya bomba kwa kufuata ratiba na inapohitajika kwa dharura.
 Kunakili, kutayarisha, kukusanya, kutunza na kuziwasilisha takwimu za uendeshaji na matengenezo ya mitandao ya bomba za miradi ya maji na usafi wa mazingira;
 Kumsaidia Fundisanifu kazi za kiufundi.
1.8 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliohudhuria na kufaulu mafunzo ya mwaka mmoja kutoka Chuo cha Maji au Chuo chochote kinachitambuliwa na Serikali ambao wana Cheti cha ufundi Daraja III (Plumbing).
1.9 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS A kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.br/>xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

5.0 MHANDISI DARAJA LA II (MAJI) – WATER RESOURCE ENGINEER – NAFASI 14-INARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
5.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushughulikia upembuzi yakinifu, usanifu wa ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu midogo midogo ya usambazaji maji na kushiriki shughuli za upembuzi yakinifu, usanifu, ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu mikubwa ya ujenzi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanyia mapitio taarifa za upembuzi yakinifu na sanifu za ujenzi wa miundombinu ya miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanyia ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na utengenezaji wa miundombinu ya uzalishaji na usambazaji maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kupata ubora unaokusudiwa.
 Kushiriki katika kazi ya kupendekeza miradi na kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanya uchunguzi kuhusu uharibifu wa miundombinu au ajali zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira.
 Kutayarisha bajeti ya utekelezaji wa shughuli za sekta za maji.
 Kusimamia kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na mategenezo ya miundombinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira.
 Kukusanya na kutayarisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji kwa ajili ya matumizi ya sekta na kwa ajili ya kujisajili katika bodi ya Wahandisi.
5.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya uhandisi wa Maji (Water Resource Engineering) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
5.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

6.0 MHANDISI DARAJA LA II (MAJI) – WATER RESOURCE WITH GIS ENGINEER – NAFASI 4-INARUDIWA
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maji.
6.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kushughulikia upembuzi yakinifu, usanifu wa ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu midogo midogo ya usambazaji maji na kushiriki shughuli za upembuzi yakinifu, usanifu, ujenzi, uendeshaji na matengenezo ya miundombinu mikubwa ya ujenzi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanyia mapitio taarifa za upembuzi yakinifu na sanifu za ujenzi wa miundombinu ya miradi ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanyia ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na utengenezaji wa miundombinu ya uzalishaji na usambazaji maji na usafi wa mazingira kwa ajili ya kupata ubora unaokusudiwa.
 Kushiriki katika kazi ya kupendekeza miradi na kupitia mapendekezo ya miradi (project proposal) ya usambazaji maji na usafi wa mazingira.
 Kufanya uchunguzi kuhusu uharibifu wa miundombinu au ajali zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi ya maji na usafi wa mazingira.
 Kutayarisha bajeti ya utekelezaji wa shughuli za sekta za maji.
 Kusimamia kuratibu na kufuatilia utekelezaji wa ujenzi, uendeshaji na mategenezo ya miundombinu ya miradi ya maji na usafi wa mazingira.
 Kukusanya na kutayarisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji kwa ajili ya matumizi ya sekta na kwa ajili ya kujisajili katika bodi ya Wahandisi.
6.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya juu ya uhandisi wa Maji (Water Resource with GIS) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali.
6.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS E kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========

7.0 MHANDISI KILIMO DARAJA LA II (AGRO – ENGINEERS) – NAFASI 6-INARUDIWA
7.1 MAJUKUMU YA KAZI
 Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za kilimo,
 Kushiriki katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana,
 Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji,
 Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya umwagiliaji,
 Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafunindisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji,
 Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji,
 Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji kwa vikundi vya umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji,
 Kuandaa mafunzo/maonyesho ya matumizi ya za za kilimo,
 Kufuatilia program za mafunzo ya wanyama kazi, mafundi wa matrekta na wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama na matrekta,
 Kuwafundisha wakulima ujenzi wa vihengo bora na
 Kushughulikia ubora wa zana na kuwashauri waagizaji na watengenezaji ipasavyo.
7.2 SIFA ZA MWOMBAJI
 Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor Degree) ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo cha umwagiliaji na cha zana kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali.
7.3 MSHAHARA
 Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS E Kwa mwezi.
NB: MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE.
i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45
ii. Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa.
iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili.
v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwawale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI
- Computer Certificate
- Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
- Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma.
vii. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
viii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA).
ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.
xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 8 Oktoba, 2014
xiii. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI.
xiv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo.
Katibu, AU Secretary,
Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment
Utumishi wa Umma, Secretariat,
SLP.63100, P.O.Box 63100
Dar es Salaam. Dar es Salaam.
=========
X.M. DAUDI
Katibu
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Last modified on Friday, 26 September 2014 07:57