pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

CAG akabidhi Ripoti Kwa Rais Kikwete


Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) Bwana Ludovick Utouh akikabidhi Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2011-2012 kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Freddy Maro)

0 comments:

Post a Comment