pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

Taarifa kwa watumiajI (wateja) wa Zantel


Kufuatia huduma zilizo chini ya kiwango, uchukuliwaji wa fedha za wateja pamoja na malalamiko mengine, wateja (watumiaji) wote wa Zantel waliokumbwa na tatizo lolote la kuchukuliwa fedha zao kinyume na huduma walizostahiki kupata munaomba munawasiliane na Bw Ahmed kupitia namba ya simu 0779 790 750.
Lengo la mawasiliano haya ni kupata orodha na samples ya kesi wateja wa Zantel wanazokabili. Pia itatowa fursa ya kuchemsha bongo pamoja na kuandaa mikakati ya kupeleka madai yao kunakohusika.
Shime kila aliyekumbwa na kadhia ya Zantel asikae kimya, itumiwe nafasi hii kuonyesha mapungufu wa makampuni kama haya kujilimbikiazia faida kupitia mgongo wa wananchi wanyonge.
Wasiliana na Bw Ahmed 0779 790 750

0 comments:

Post a Comment