pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

Ndege ya kwanza ya Magufuli yatua Dar

NDEGE mpya ya kwanza iliyonunuliwa na serikali kwa ajili ya kutumiwa na Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), imetua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam (JNIA), ikitokea nchini Canada ilikotengenezwa. Ndege hiyo ilitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa 6:15 mchana jana. Baada ya kutua ndege hiyo, ilipatiwa heshima maalumu ambayo hutolewa kwa ndege yoyote mpya inayotua katika...

Magazeti Ya Leo, Sept 21

...

The iPhone 7 is a Money Making Gimmick

The rumors can now be put to rest; Apple CEO Tim Cook revealed the latest Apple products on Sept. 8, where the company finally laid out the newest iPhone. Critics have talked about the iPhone 7 for months, speculating about what would be different. And finally, the public knows some rumors were true. For the first time in Apple iPhone history, their newest creation does not have a headphone jack. Wait, what? I’m sure when you first heard...

Magazeti Ya Leo, Sept 20

...

New Force Dar - Songea Laua na Kujeruhi

Basi la New Force kutoka Dar es salaam kwenda Songea limepata ajali baada ya kupinduka eneo la Kifanya kilomita kadhaa kutoka mkoani Njombe. Ajali hiyo imetokea Septemba 19,2016 majira ya saa moja na dakika 40 usiku. Inaelezwa kuwa watu 12 (wanawake 8,wanaume 4) wamepoteza maisha huku 9 wakijeruhiwa. Abiria wa basi hilo wanasema basi lilikuwa katika mwendo kasi na kwamba lilinusurika kupinduka mara mbili na mara ya tatu ndipo likapinduka. Kamanda...