pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

MWENDESHA BODABODA MZUNGU RAIA WA POLLAND ARUDISHWA KWAO

bodaMwendesha boadaboda mzungu raia wa Poland, Kamil Arkadiusz akisubiri abiria katika Kituo cha Bamaga, Dar es Salaam hivi karibuni kabla ya kukamatwa na kurejeshwa kwao baada ya kupatikana na hatia ya kuishi isivyo halali kutokana na hati yake ya kuishi nchini  yenye namba 02514443 iliyotolewa Novemba mwaka jana, kumalizika muda wake.


Mzungu akiwa Kwenye Kijiwe cha Boda Boda Akiganga Njaa
Mzungu akiwa Kwenye Kijiwe cha Boda Boda Akiganga Njaa

0 comments:

Post a Comment