pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

BIASHARA MATANGAZO AU NDO NINI HII

Mwanadada akikata mauno kucheza sebene la bendi ya Malaika usiku wa jana katika ukumbi wa Ngamia, eneo la Maweni, Kigamboni, Dar es Salaam. Dada huyu aliwakera na kuwadhalilisha wanawake wenzake jana kwa ufedhuli huu.
Hata kama kuwarusha roho wanaume, hii imepitiliza



1 comments: