pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

HAYA NDO MATOKEO KAMILI YA UCHAGUZI CHALINZE

kituo 
April 06 ndiyo ilikua siku pekee kwa Wananchi wa Chalinze kupiga kura ya kumchagua Mbunge wao kwenye uchaguzi mdogo wa nJimbo la Chalinze,matokeo yake yametangazwa usiku wa kuamkia April 07 na msimamizi wa kituo hicho Mr.Samuel Sajanga,
Matokeo hayo yameonyesha Chama Cha Mapinduzi kimepata kura 28,000 ambayo ni sawa na ushindi wa asilimia 86.61,Chadema imepata kura 2,544 ambayo sawa na asilimia 10.58,Chama cha Cuf kimepata kura 476 ambayo sawa na asilimia 1.98.
Vingine ni Chama cha Afp ambacho kimepata kura 186 ambayo ni sawa na asilimia 0.59 na Chama cha  Nra ambacho kimepata kura 60 ambayo sawa na asilimia 0.25.
Bonyeza play kusikiliza idadi ya watu waliopiga kura na kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu.

0 comments:

Post a Comment