pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

Mamba mla watu Anaswa Ziwa Victoria

Locals from of the Kakira village, in eastern Uganda, gather to look at the enormous man-eating crocodile believed to have killed six people
Mamba aliekua akiishi katika ziwa Victoria mwenye umri wa miaka 80, mwenye uzito unaokadiriwa kukaribia tani moja amekamatwa katika ziwa Victoria upande wa Uganda ni baada ya wananchi kulalamika kuhusu mamba huyo anaekula watu, huku akikadiriwa kuwa ameshakula watu wasiopungua sita mpaka kukamatwa kwake
Handful: The powerful beast measured 18ft long and weighed approximately a tonne. It is thought to be over 80-year-old watu wengi kutoka kijiji  cha kakira walifika kushuhudia mamba huyo akitolewa majini, huku wakiwa na nyuso za furaha na wengi wakipiga picha 
Threat: The powerful beast is suspected of killing six people. Its latest victim is believed to be a fisherman and father of two whose tattered clothes were discovered floating on the water (file picture)
Mtu wa mwisho kuliwa na mamba huyo ni mzee mwenye watoto wawili ambae ni mvuvi wa samaki ambae nguo zake zilionekana zikielea katika mto huo huko Uganda.

0 comments:

Post a Comment