pagead2.googlesyndication.com pagead2.googlesyndication.com

TAARIFA RASMI! FRANK RIBERY KUZIKOSA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

NYOTA wa Ufaransa, Franck Ribery atakosa fainali za kombe la dunia baada ya kushindwa kupona majeruhi yake ya mgongo.
Ribery pamoja na kiungo wa Lyon  Clement Grenier wameondolewa rasmi katika kikosi cha Ufaransa kutokana na majeruhi.
Winga wa Bayern Munich, Ribery amekuwa akisumbuliwa na majeruhi ya mgongo na amekuwa akifanya mazoezi peke yake mpaka leo hii alipojiunga na wenzake mazoezini.
 Ribery aliyeichezea Ufaransa mechi 80 ni mchezaji muhimu kwa  Deschamps na kumkosa katika fainali za kombe la dunia ni pengo kubwa mno.
Out: Franck Ribery (left) will not go to Brazil with France as coach Didier Deschamps (right) looks on
Out: Ribery's (left) withdrawal has forced Deschamps (right) to make changes to his World Cup squad
Fitness: The Bayern Munich winger has been struggling for weeks with a back injury and has not recovered
 Ribery ameshindwa kupona kwa wakati.
Opportunity: Southampton's Morgan Schneiderlin (right) has been called-up as a replacement for Brazil
 Fursa: Mchezaji wa Southampton, Morgan Schneiderlin (kulia) ameitwa kuziba nafasi hiyo.
New arrival: Schneiderlin (right) arrives at Clairefontaine for a press conference after his call-up

0 comments:

Post a Comment